SANAA YA LUGHA
· 6M ago
MWENYE MATUSI
Yako majina ya vitu, mengine yasiyotajwa, Yashangaza kuna watu, wenye uovu kujawa, Waona kuwa si kitu, ni kama wanaolipwa, Thawabu yako motoni, sikia mwenye matusi. Mtu sio hayawani, anatumia akili, Kuboboka hadharani, huwa ni kwake katili, Matusi siwe kinywani, kama lusu tafadhali, Thawabu yako m
SANAA YA LUGHA
· 1Y ago
NIPE NAFASI MHARIRI
Nipe nafasi mhariri, mawazo yangu sikika, Lipate kuwa dhahiri, neno lilokusudika, Nikupe langu shairi, gazetini kuandika, Nipe nafasi mhariri, nisomeke gazetini. Nipe nafasi mhariri, gazetini kuandika, Wasifu wa mshairi, Musa Mzenga kutundika, Kuyatunga mashairi, mpaka nikaelimika, Nipe nafasi mhari
SANAA YA LUGHA
· 1Y ago
JOGOO HAWI JONGOO
JOGOO HAWI JONGOO Majina yapo ya vitu, hata yakiwa vitate, Havitafanana katu, japo majina uite, Hata kishikwa na kutu, kumwogopea siate, Jogoo hawi jongoo, huishi kuwa jogoo. Jogoo umbile lake, wadudu kuwabugia, Ukware kipawa chake, vitembe wakatagia, Kuwika laana yake, kiburi kamuingia, Jogoo hawi
SANAA YA LUGHA
· 1Y ago
MAJI UKIYAVULIA
MAJI UKIYAVULIA, Katiba tumepitisha, kwa moyo wetu mmoja, Ingawa tumebakisha, tujiunge kwa pamoja, Ukabila ukaisha, tuwe kikundi kimoja, Maji ukiyavulia, huna budi kuyaoga. Yaliyopita si ndwele, tuyagange ya waleo, Akili zetu ni nywele, zitufikishe upeo, Tupate kuenda mbele, ndipo tuwe kivutio, Maji
SANAA YA LUGHA
· 1Y ago
KIUMBE
KIUMBE Kiumbe, una hadhi gani? Kumbe, hujijui u nani? Mjumbe, waringiya nini? Ujumbe, wakuhusu nini? Uimbe, wimbo wa wahuni, Pombe, itakulaza chini, Kijembe, tapigwa kwa kani, Uvimbe, nundu mgongoni. Jipambe, nguo za katani, Pembe, zitie kichwani, Utambe, jae duniani, Vikembe, ujaze nyumbani. Kiumbe
SANAA YA LUGHA
· 1Y ago
JIRANI
JIRANI Jirani wataka nini, nikupe ukatulie, Sione mi maskini, sikia uzingatie, Hutosheki maishani, jaribu ufikirie, Una pembe na mkia, situdanganye hauna. Umesukuma mpaka, kuchukua shamba langu, Meniacha nikimaka, moyo mejaa uchungu, Maji yale ya masika, ukayelekeza kwangu, Huna akili kichwani, situ
SANAA YA LUGHA
· 1Y ago
USTADHI
USTADHI Ustadhi mwawataja, walio nao ujuzi, Waliovuka daraja, kuwa ndio wamaizi, Mnawapiga pambaja, kwa wingi wa utukuzi, Kiwa lugha na wenyewe,wengine wafanya nini? Mwahesabu ustadhi, wa sasa na wasifika, Watunzi walio hadhi, kumbini waliowika, Walochopoa mahadhi, kwa ndimi zilizowaka, Kiwa sisi ha